Chris Eddie
Jumatatu, 11 Agosti 2014
Jumamosi, 9 Agosti 2014
Ijumaa, 8 Agosti 2014
Israel yaanza mashambulizi upya Gaza
Majeshi ya Israel imeanza tena upya operesheni yake ya mashambuzi katika eneo la Gaza baada ya kumalizika kwa saa 7 za kusitisha mapigano lililotolewa na na Israel kwa ajili ya huduma za kibinadamu katika baadhi ya mipaka ya Israel.
Waziri Mkuu wa Palestina Benjamini Netanyau amesema operesheni hiyo itaendelea hadi hapo hali ya usalama na utulivu utakaporejea nchini Israel.
Japokuwa kumekuwa na kupungua kwa kiwango cha mashambulizi nyakati za mchana, Wapalestina wameilaumu Israel kwa kuikuka walichokipanga wenyewe cha usitishaji wa mapingano na badala yake ikashambulia kwa bomu kambi ya wakimbizi katika eneo la kaskazini mwa Gaza na kuua mwanamke mmoja na mtoto wa miaka nane.
Israel imesema kwamba wapiganaji wa kiislamu wameendeleza upigaji wa mabumu katika ardhi ya Israel.
Katika mji wa Jerusalemu, Israel mwisreel mmoja aliuawa wakati trekta ya kuchimba mchanga ilipogonga basi jambo ambalo Israel imesma ni shambulio la kigaidi.
Haya ni baadhi ya maeneo ya GAZA
RISE DA HONEST and CHRIS EDDIE shared photo with SHINING STAR
SHINING STAR ATAKINUKISHA LEO NANE NANE.
CHRIS EDDIE NA SHINING STAR
Mwakangale ooooyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.........full mamzuksi na Show kali toka Kwa Sining Star
Alhamisi, 7 Agosti 2014
http://bbc.in/1vg8zsB
Ebola yazua hofu nchini Nigeria.
Chama cha madaktari nchini Nigeria kimetangaza kukamilika kwa mgomo wa kitaifa ulioanza karibu mwezi mmoja uliopita kutokana na kuwepo mlipuko wa ugonjwa wa Ebola.
Watu wawili wameaga dunia na wengine watano wameambukizwa maradhi hayo nchini Nigeria taifa lililo na watu zaidi barani Afrika.
Taarifa zinazohusiana
afya
Hadi sasa takriban vifo 930 vilivyotokana na ugonjwa wa ebola vimeripotiwa nchini Liberia, Sierra Leone na Guniea.
Liberia nayo imetangaza hali ya tahadhari.
Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleas amesema kuwa hatua zaidi zinahitajika ili kulioka taifa hilo.
Kasisi mhispania aliyeambukizwa ugonjwa huo akifanya kazi kwenye hospitali moja nchini Liberia amesafirishwa kwenda nchini uhispania kwa matibabu.
Madaktari wamesitisha mgomo wao ilikukabiliana na mlipuko wa Ebola.
Mkuwatano wa pili wa dharura kuhusu ugonjwa wa ebola umeingia siku ya pili kwenye makao makuu ya shirika la afya duniani WHO mjini Geneva.
Huko Nigeria juhudi zimeanza kunoga ilikukabiliana na tishio la mlipuko wa ugonjwa huo wa Ebola.
Vituo vya Radio mjini Lagos vinatoa ushauri kuhusu njia za kuwa salama ili kusaidia kuzuia kusambaa wa ugonjwa wa ebola.
Zaidi ya watu 930 wameaga dunia nchini Sierra Leone, Liberia, Guinea na Nigeria katika kile kinachotajwa kuwa mlipuko mbaya zaidi wa ugonjwa wa Ebola kuwai kushudiwa.
Wanajeshi wametumwa kwenda maeneo tofauti nchini Liberia kuzuia watu kutembea kutoka sehemu zilizoathiriwa na ugonjwa huo .
Nchini Liberia hali ya hatari imetangazwa na watu wengi walio wagonjwa wanarudi nyumbai bila kutibiwa baada ya madaktarti kukosa kufika hospitalini.
Daktari akijihami kuwatibu washukiwa wa Ebola mjini Lagos.
Nao mkutano wa pili wa dharura kuhusu ugonjwa wa ebola umeingia siku ya pili kwenye makao makuu ya shirika la afya duniani WHO mjini Geneva.
Jisajili kwenye:
Maoni (Atom)








